IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya walowezi wa Kizayuni, akieleza kuwa eneo hilo takatifu ni “urithi wa Kiislamu usiogawika wala kujadiliwa kwa namna yoyote.”
Habari ID: 3480916 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08
IQNA – Harakati ya Palestina ya Mapambano ya Kiislamu, Hamas, imelaani vikali uvamizi wa kichokozi uliofanywa na walowezi wa Kiyahudi katika eneo la msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, jijini Quds (Jerusalem) ikieleza kuwa ni sehemu ya juhudi za Israel za kufuta utambulisho wa Kiislamu wa eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3480781 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03
IQNA – Zaidi ya walowezi 1,000 wa Kizayuni wa utawala haramu wa Israel wakiwa na mawaziri wa mrengo mkali wa kulia na wakisaidiwa na jeshi la utawala huo katili, wameuvamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa wa al-Quds siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480745 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA-Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ameonya kuhusiana na kushadidi mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya msikiti huo na mji wa Quds, na hivyo ametoa mwito wa kukabiliana mara moja na vitendo hivyo visivyo vya kibinadamu vinavyosimamiwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3480627 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03
IQNA – Nchi kadhaa za Kiarabu zimelaani vikali kusambazwa kwa klipu iliyotengenezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) na walowezi wa Kizayuni wa Israel, inayoonyesha uharibifu wa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko katika al-Quds inayokaliwa kwa mabavu, na ujenzi wa hekalu la Kiyahudi mahali pake.
Habari ID: 3480568 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Lebanon, Hizbullah, imetoa wito kwa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (AL), vituo vya kielimu na kisayansi vya Umma wa Kiislamu, pamoja na wapenda uhuru duniani kuchukua hatua za haraka kutimiza wajibu wao wa kihistoria kuhusu Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3480554 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/17
IQNA – Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaangazia utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3480552 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Wapalestina pamoja na nchi za eneo la Asia Magharibi zimelaani vikali uvamizi wa waziri wa mrengo wa kulia wa utawala ghasibu wa Israel, Itamar Ben-Gvir, kwenye uwanja wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3480488 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/03
IQNA-Takriban Wapalestina 120,000 walikusanyika kwa ajili ya Swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel licha ya vikwazo vilivyowekwa na vikosi vya utawala huo dhalimu.
Habari ID: 3480476 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/31
IQNA – Wapalestina wanaendelea kushiriki katika Swala za jamaa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika jiji takatifu la al-Quds kwa wingi wakati wa Ramadhani licha ya vizuizi vinavyowekwa na utawala dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3480443 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/26
IQNA – Takriban Wapalestina 70,000 walikusanyika katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu ili kuswali siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu Ramadhani.
Habari ID: 3480287 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/02
IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka Wapalestina kufika katika Msikiti wa Al-Aqsa katika al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, ikiwahimiza kushiriki katika ibada, ikiwemo itikafu.
Habari ID: 3480283 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA – Idadi kubwa ya Wapalestina walihudhuria mazishi yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Al-Quds siku ya Jumatatu kwa ajili ya msomaji wa Qur'ani Tukufu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3480268 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA-Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa ulioko jijini Al Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3480246 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Kadhia ya Palestina
IQNA – Sheikh Ekrema Sabri, Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, amesema sauti ya Adhana (wito wa Waislamu wa kuswali) itaendelea kusikika huko Palestina milele.
Habari ID: 3479850 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kuba la Musa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds linachukuliwa kuwa kituo cha kwanza cha kufundisha Qur'ani huko Palestina.
Habari ID: 3479775 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19
Jinai za Israel
IQNA - Ukatili wa utawala haramu wa Israel huko Gaza na Lebanon katika mwaka uliopita umesababisha kuundwa kwa muungano wa mataifa ya Kiislamu "kwa njia ambayo haikutarajiwa", amesema mwanazoni mwandamizi wa Iran.
Habari ID: 3479667 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29
Jinai za Israel
IQNA - Mamia ya walowezi wa Kizayuni wamevamia eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu siku ya Jumapili, chini ya ulinzi wa wanajeshi wa Israel.
Habari ID: 3479625 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21
Muqawama
IQNA – Wananchi wa Palestina katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem)wamehimizwa na makundi mbalimbali kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa kwa wingi katika mnasaba wa Milad –un-Nabi
Habari ID: 3479443 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16